Sunday, June 17, 2012

HAIJAWAHI KUTOKEA MKOANI IRINGA MTUMISHI WA MUNGU ASKOFU BOAZ SOLLO PAMOJA NA MTUME DAVID CHUMA KUTOKA ZAMBIA WAUNGURUMISHA SEMINA KUBWA YA NENO LA MUNGU AMBAPO MIUJIZA MIKUBWA IMETENDEKA,WAGONJWA KUPONYWA,WENYESHIDA KUFUNGULIWA KUANZIA JUNE 14.2012 HADI JUNE 17.2012.



Bango kubwa la Ukumbi wa Overcomers Power Centre Iringa (IDYDC)


Mtume David Chuma akihubiri Iringa


Mtume David Chuma kutoka Zambia akisoma neno la Mungu



Askofu Boaz Sollo mkuu wa huduma ya Overcomers Power Centre na mkurugenzi wa Overcomers Fm Radio akiwa katika semina




Mtume David Chumma akifanya maombezi kwa wenye shida.



Waliohudhulia katika semina Iringa Overcommers Power Centre wakiombewa na Mtume David Chuma Kutoka Zambia




Askofu Boaz Sollo kulia akiwa na Mtume David Chuma kushoto wakiwa  ukumbini




Mtume david Chuma Akiwaombea watu


Askofu Boaz Sollo akifanya maombezi



Mtume David Chuma akihubiri

Mtume David Chuma akishangiliwa na Waliohudhulia katika Semina

Muhubiri David Chuma akisoma neno la Mungu




Waumini wakihitaji maombezi kutoka kwa mtume



Mtume David Chuma








Mamia ya wakazi wa Iringawalihudhulia katika semina wakisubiri maombezi


Waumini wakiwa wanasubiri kutoa sadaka katika semina




Mtume David Chuma kutoka Zambia  akiitwanga injili mkoani Iringa





Mamia ya wakazi wa mkoa wa Iringa na Dodoma walio hudhulia kwenye semina ya Mambezi IDYDC Iringa


watu wafulika katika ibada ya kwanza na yapili kwaajili ya semina ya Overcomers Power Centre Iringa iliyoandaliwa Askofu Boaz Sollo ikihutubiwa na Mtume David Chuma kutoka Zambia

No comments:

Post a Comment