 |
Miss
Ubungo 2012, Irene Sizari akiwa na washindi wake wa pili kushoto
Mwaniumy Mustafa na wa tatu kulia Antonia Nyagunda wa tatu, baada ya
shindano hilo |
 |
Irene
anavishwa taji |
 |
Wakubwa
na wanao |
Na Princess
Asia
KIMWANA Irene
Sizari usiku wa kuamkia leo ameibuka Miss
Ubungo 2012 katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Landmark,
Ubungo
akiwashinda washiriki wenzake 14.
Katika onyesho
hilo lililosindikizwa na burudani ya FM
Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Mwaniumy Mustafa aliibuka mshindi wa pili,
Antonia Nyaragunda wa tatu, Wema Mwanga wanne na Joyce Raphael wa tano.
Wasichana wote
watano wamejikatia tiketi ya kushiriki
shindano la Miss Kinondoni Agosti, mwaka huu na baada ya hapo, Miss
Tanzania,
Novemba mwaka huu.
 |
Meza
ya wakuu |
 |
Majaji |
 |
Rutta
na Vimwana |
 |
Nyoshi
kulia na Patcho |
 |
Toto
Kalala |
 |
Wazee
wa Ngwasuma jukwaani |
 |
Wanenguaji
wa Ngwasuma wakicheza Mundes |
 |
Ngwasuma |
 |
Dina
Ismail |
 |
Mkurugenzi
Hashima Lundenga kulia na mlimbwende |
 |
Mkuu
wa Itifaki Miss Tanzania, Makoye na mlimbwende |
 |
Warembo
woooooooteeeeeeeee |
 |
Kimwana
anapiga kazi |
 |
Jaji
Mkuu Sinta |
 |
Dina
Ismail |
 |
Sinta |
 |
Sinta |
 |
Top
5 |
 |
Anko
Hashim akitoa 'darasa' |
 |
Mnenguaji
wa Ngwasuma |
 |
Dina
\na nani sijui |
 |
'Wanazi'
wa Toto African, |
 |
Rutta
na Makoye kulia |
 |
Mauno
ya Ngwasuma |
 |
BIN
ZUBEIRY na 'totoz' |
 |
Rafiki
yake Dina |
 |
Sharobaro
akifanya vituuuuuuuz |
No comments:
Post a Comment