Saturday, June 30, 2012


IRENE NDIYE MISS UBUNGO 2012



Miss Ubungo 2012, Irene Sizari akiwa na washindi wake wa pili kushoto Mwaniumy Mustafa na wa tatu kulia Antonia Nyagunda wa tatu, baada ya shindano hilo
Irene anavishwa taji




Wakubwa na wanao

Na Princess Asia
KIMWANA Irene Sizari usiku wa kuamkia leo ameibuka Miss Ubungo 2012 katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Landmark, Ubungo akiwashinda washiriki wenzake 14.
Katika onyesho hilo lililosindikizwa na burudani ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Mwaniumy Mustafa aliibuka mshindi wa pili, Antonia Nyaragunda wa tatu, Wema Mwanga wanne na Joyce Raphael wa tano.
Wasichana wote watano wamejikatia tiketi ya kushiriki shindano la Miss Kinondoni Agosti, mwaka huu na baada ya hapo, Miss Tanzania, Novemba mwaka huu.
Meza ya wakuu


Majaji
Rutta na Vimwana


Nyoshi kulia na Patcho


Toto Kalala


Wazee wa Ngwasuma jukwaani
Wanenguaji wa Ngwasuma wakicheza Mundes


Ngwasuma


Dina Ismail


Mkurugenzi Hashima Lundenga kulia na mlimbwende


Mkuu wa Itifaki Miss Tanzania, Makoye na mlimbwende


Warembo woooooooteeeeeeeee


Kimwana anapiga kazi


Jaji Mkuu Sinta


Dina Ismail


Sinta


Sinta


Top 5


Anko Hashim akitoa 'darasa'


Mnenguaji wa Ngwasuma
Dina \na nani sijui

'Wanazi' wa Toto African, 

Rutta na Makoye kulia

Mauno ya Ngwasuma

BIN ZUBEIRY na 'totoz'

Rafiki yake Dina


Sharobaro akifanya vituuuuuuuz

No comments:

Post a Comment