Hii ndiyo gari ilyopa ajali mkoani mbeya nakusababisha vifo vya watu 13 na wengine 20 kujeruhiwa
Hayati mzee Mathius Kihaule
Aliyekuwa
mbunge wa Ludewa, mzee Mathias Kihaule amefariki jana saa tisa na nusu alasiri,
katika hospitali ya taifa ya Muhimbili, ambako alikuwa amelazwa kutokana na
maradhi ya ugonjwa wa moyo. Mzee Kihaule alikuwa ni mbunge wa Ludewa toka mwaka
1980 - 1985, 1985 - 1990, na 1990 - 1995.
Mzee Kihaule ambaye aliyewahi kuwa Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliwahi pia kuwa Mkuu wa
Wilaya ya Mbarali.
Kabla ya mauti, mzee Kihaule alikuwa
Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari ya Lugarawa, ambako pia alikuwa
akijishughulisha na shughuli za Kilimo. Mwili wa marehemu utasafirishwa kesho
kwenda kijijini kwake Lugarawa, LudewaHabari na
No comments:
Post a Comment