Sunday, June 17, 2012



Mtume David Chuma kutoka Zambia aachia Upako Iringa katika semina kubwa ya Neno la Mungu iliyo andaliwa na Askofu Boaz Sollo wa huduma ya Overcomers Power Centre Iringa Tanzania


Mtume David Chuma kutoka Zambia akihubiri katika ukumbi wa IDYDC


Mtume David Chuma akifanya maombezi



Mmoja kati ya waliofika katika ukumbi wa IDYDC akifanyiwa maombezi na mtume David Chuma




Waumini wakifanyiwa maombezi na Mtume David Chuma Iringa



Mtume David Chuma akihubir katika ukumbi wa IDYDC Iringa


Mtume David Chuma akiwasha moto wa injili katika ukumbi wa IDYDC Mkoani Iringa

No comments:

Post a Comment