MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA KITAIFA YAFUNGWA MKOANI IRINGA
Mkuu
wa Mkoa wa Iringa,Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na Mwenyekiti
wa Kamati ya Nenda kwa Usalama Mkoa wa Iringa, Salim Abri Asas mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga
maadhimisho hayo kitaifa.
Mkuu
wa Mkoa wa Iringa,Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na Mbunge wa
Viti Maalum CCM, Iringa Ritha Motto Kabati(kulia) mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa.
Mkuuwa
Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na Meneja Mauzo
wa Airtel, Kanda ya Nyanda usini, Beda Kinunda mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa Samora mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa.
Airtel ndio wadhamini wa maadhimisho hayo kitaifa.
Mkuu
wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akisalimiana na RPC wa Mkoa
wa Mbeya, Diwani Athuman mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Samora
mkoani Iringa kufunga maadhimisho hayo kitaifa.
Mkuuwa
Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akipokea zawadi ya
Airtelkutoka kwa Meneja Mauzo wa Airtel, Kanda ya Nyanda usini, Beda
Kinunda mara baada ya kutembelea banda la Airtel ambao ndio wadhamini wakuu wa wa wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa. Kulia ni Naibu Waziri Mambo ya Ndani, Pereira Silima.
Kinunda mara baada ya kutembelea banda la Airtel ambao ndio wadhamini wakuu wa wa wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa. Kulia ni Naibu Waziri Mambo ya Ndani, Pereira Silima.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Mjini Bi Telesia Mahongo akiwa na Wabunge
wa Viti Maalum mkoa Iringa, Ritha Motto Kabati (kulia) na Ckiku Alfan
Abwao (kushoto) wakiwa katika viwanja vya Samora mjini Iringa hii leo
katika ufungaji wa Maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa.
Mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi
Malangali Mkoani Iringa, Steven Mligo(kushoto) akitoa maelezo juu ya
namna ya matumizi sahihi ya kufuata sheria za barabara kwa watembea kwa
miguu na watumiaji wengine wa barabara kwa Mgeni rasmi katika ufungaji
wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Kitaifa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk.
Christine Ishengoma alipokuwa anatembelea banda la Posili usalama
barabarani jana katika uwanja wa Samora mjini Iringa.
Ofisa
wa Wizara ya Ujenzi, (kulia akitoa maelezo ya Wizra hiyo kwa Mgeni
Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma alipotembelea
banda hilo. Kushoto kabisa ni Naibu Waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge
Baadhi ya wafanyakazi
wa Wakala wa Barabara TANROAD wakiwa katika banda lao
Mkurugenzi
wa Mipango wa TANROADS, Mhandisi, Jason Rwiza (kushoto) akitoamaelezo
ya taasisi hiyo kwa Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine
Ishengoma alipotembelea banda hilo. Kulia ni kabisa ni Naibu Waziri wa
Ujenzi Gerson Lwenge
Mneja wa Mkoa wa Iringa
wa Shirika la Bima la Taifa, (NIC) Ally Mohamed (kulia) akitoa maelezo
ya taasisi hiyo kwa Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine
Ishengoma alipotembelea banda hilo. Wengine ni Mbunge wa Viti Maalum
Iringa, Ritha Kabati (kushoto) na Kamanda wa Trafiki, Kamishna Msaidizi
Mohamed Mpinga. Afisa Mauzo Msaidizi wa
ASAS, Stanley Nyamle (kushoto) akitoa maelezo juu ya namna ya matumizi
sahihi ya kufuata sheria za barabara kwa watembea kwa miguu na watumiaji
wengine wa barabara kwa Mgeni rasmi katika ufungaji wa Wiki ya Nenda
kwa Usalama Kitaifa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma
alipokuwa anatembelea banda la Posili usalama barabarani
jana katika uwanja wa Samora mjini Iringa.
jana katika uwanja wa Samora mjini Iringa.
Wanafunzi
wakitumbuiza kwa nyimbo katikakilele hicho cha Wiki ya Nenmda kwa Usalama Kitaifa mjini Iringa hii
leo.
Mkuu
wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akimkabidhi cheti
Mkurugenzi wa Makampuni ya ASAS, Salim Abgri kwa mchango wake wa
kufanikisha Maadhimisho hayo ya Wiki ya Nebda kwa Usalama Kitaifa mkoani
Iringa. Abri pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Nenda kwa Usalama Mkoa wa
Iringa.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine
Ishengoma, akimkabidhi cheti Mkurugenzi wa Redio One na Capita Radio,
Deogratius Rweiyunga kwa mchango wake wa kufanikisha Maadhimisho hayo ya
Wiki ya Nebda kwa Usalama Kitaifa mkoani Iringa.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine
Ishengoma, akimkabidhi cheti Mmwenyekiti wa Kamati ya Nenda kwa Usalama
Mkoa wa Geita, Willson Msuka kwa mchango wake wa kufanikisha Maadhimisho
hayo ya Wiki ya Nebda kwa Usalama Kitaifa mkoani Iringa
Baadhi
ya madereva wa Pikipiki mkoani Iringa waliopatiwa mafunzo maalum ya
uendeshaji pikipiki na kufaulu wakila kiapo cha utii wa sheria za
barabarani mbele ya Mgeni rasmi.
Mneja wa Mkoa wa Iringa
wa Shirika la Bima la Taifa, (NIC) Ally Mohamed (kulia) akitoa maelezo
ya taasisi hiyo kwa Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine
Ishengoma alipotembelea banda hilo. Wengine ni Mbunge wa Viti Maalum
Iringa, Ritha Kabati (kushoto) na Kamanda wa Trafiki, Kamishna Msaidizi
Mohamed Mpinga.
IKULU:Rais jakaya kikwete alipoongoza kikao maalum cha baraza la mawaziri

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
(kushoto), Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa, Waziri wa Kilimo Profesa
Jumanne Maghembe na Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki Mhe Samuel
Sitta baada ya kumalizika kwa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri
pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi
Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es
salaam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
(kulia kwake) na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto)
kwake wakati wa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu
Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012
katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.

Wajumbe katika mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu
Mawaziri na Makatibu wakuu wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete
(hayupo pichani) alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi
wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.
Mbeya: Baba (39) ampa mimba mwanaye (15) wa kumzaa (?!)
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya
-- Mkazi wa Mtaa wa Mbete,Kata ya Isanga Jijini Mbeya Bwana Yussuf
Hamad (39), anatuhumiwa kumpa mimba binti yake wa kumzaa (15) jina lake limehifadhiwa .
Hayo yamethibitishwa na Mama mzazi wa binti huyo Bi, Regina Simon (35) baada ya
kupata taarifa Mei 11 mwaka huu kuwa binti yake ana ujauzito wa miezi minne, na
kuamua kutoa taarifa kwa Balozi wa mtaa huo Bwana Steven Ovaova ambaye
naye alitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa Kitongoji, Bwana Angelo Sanga.
Viongozi hao wa mtaa walimuita mtuhumiwa na ili kupata ukweli wa tukio hilo , lakini mtuhumiwa
alikanusha ingawa binti yake alithibitisha kutendewa ukatili huo na kwamba
alikuwa akitishiwa kwa mapanga kila alipokuwa akifanya naye tendo la ndoa.
Baada ya uongozi kupata maelezo kutoka kwa binti huyo na mzazi kukataa,
waliamua kuipeleka kesi hiyo Polisi, ambapo walitoa PF3 iliyomwezesha binti
huyo kupelekwa kwa daktari ambaye alithibitisha kuwa binti huyo ana ujauzito.
Hata hivyo, hivi sasa binti huyo amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya
akisubiri kujifungua ingawa umri mdogo wa binti huyo amekuwa chini ya uangalizi
wa karibu wa daktari hospitalini hapo.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani Septemba 25 mwaka huu katika Mahakama kuu
jijini hapa, ili kujibu tuhuma zinazomkabili katika kesi inayotarajiwa
kusikilizwa na hakimu wa mahakama hiyo mheshimiwa Majige.
Hayo yamethibitishwa na Mama mzazi wa binti huyo Bi, Regina Simon (35) baada ya kupata taarifa Mei 11 mwaka huu kuwa binti yake ana ujauzito wa miezi minne, na kuamua kutoa taarifa kwa Balozi wa mtaa huo Bwana Steven Ovaova ambaye naye alitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa Kitongoji, Bwana Angelo Sanga.
Viongozi hao wa mtaa walimuita mtuhumiwa na ili kupata ukweli wa tukio
Baada ya uongozi kupata maelezo kutoka kwa binti huyo na mzazi kukataa, waliamua kuipeleka kesi hiyo Polisi, ambapo walitoa PF3 iliyomwezesha binti huyo kupelekwa kwa daktari ambaye alithibitisha kuwa binti huyo ana ujauzito.
Hata hivyo, hivi sasa binti huyo amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya akisubiri kujifungua ingawa umri mdogo wa binti huyo amekuwa chini ya uangalizi wa karibu wa daktari hospitalini hapo.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani Septemba 25 mwaka huu katika Mahakama kuu jijini hapa, ili kujibu tuhuma zinazomkabili katika kesi inayotarajiwa kusikilizwa na hakimu wa mahakama hiyo mheshimiwa Majige.
No comments:
Post a Comment