Tuesday, October 16, 2012


ZAIDI YA MILION 5 ZA MBUNGE WA VITIMAALUM MKOA WA IRINGA MH.LITHA KABATI ZATUMIKA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KWA WANANCHI KATIKA VIKUNDI MBALIMBALI NA TAASISI MBALIMBALI  MKOANI HAPA.
MH.MB LITHA KABATI akizungumza na wanavikundi mbalimbali

MH.MB LITHA KABATI akifurahia zawadi kutoka kwa wanavikundi
MH.MB LITHA KABATI akipokea zawadi kutoka kwa wanavikundi
 zawadi kutoka kwa wanavikundi
Vijana wa Miomboni wakabidhiwa vifaa vya michezo kutoka kwa Mbunge wa viti maalumu Litha Kabati

Shule ya Sekondari Image Vosa yakabidhiwa vifaa vya michezo kutoka kwa mbunge
Mwakilishi wa Redio Furaha akipokea fedha kutoka kwa Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Iringa Litha Kabati
Viongozi wa Mchezo wa Basketball Iringa wakipokea msaada wa fedha kutoka kwa Mheshimiwa Mbunge wa vitimaalum Mkoa wa Iringa Litha Kabati
 
 
 
 
 

Mbunge Litha Kabati akimkaribisha Mh.January Makamba Mbunge wa Bumbuli Tanga
Mh.January Makamba akizungumzawa wanavikundi Manispaa ya Iringa
 
Kulia ni Mbunge wa vitimaalu Iringa,Katikati ni Mh.January Makamba na kushoto ni Mwenyekiti wa Akina mama mkoa wa Iringa Bi.Mwamwindi
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa akimuanga Mbunge Makamba
Mwenyekiti wa akina mama Bi.Mwamwindi akishukuru kwa ushindi
 
 
Wanavikundi
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment