Saturday, August 10, 2013

ZAIDI YA VIKUNDI 8 VYA WAJASILIAMALI VYATEKELEZEWA AHADI ZAKE KUTOKA KWA MH.MBUNGE WA VITIMAALUMU MKOANI IRINGA RITTA KABATI AMBAPO ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 5 ZATUMIKA.

Mh.mbunge Ritta Kabati akikabidhi fedha tasilimu kwa wanavikundi ikiwa ni sehemu ya utekeklezaji wa ahadi zake kwa vikundi vya wajasiliamali
Wanavikundi

MH.RITTA KABATI MBUNGE WA VITI MAALUM MKOANI IRINGA  AAHIDI KUENDELEZA MICHEZO MBALIMBALI KATIKA MKOA WA IRINGA.

Mh.Mbunge Ritta Kabati akiwa na baadhi ya viongozi wa michezo kata ya Ruaha Iringa
Mh.Mbunge akiwa na Timu shiriki
Mh.Mbunge akiwa na kijana aliyefanikiwa kuwa mchezaji bora katika mashindano
Mh.Mbunge akikabidhi zawadi kwa washindi

Mbunge kabati alitoa rai hiyo wakati wa fainali za michezo ya kwa vijana waliochini ya umri wa miaka 17 mchezo uliochezwa katika viwanja vya kanisa katoriki Ipogolo manispaa ya Iringa ambapo alisema yeye kwakuwa anawiwa kuwasaidia vijana wa mkoa wa Iringa kimichezo ataendelea kuwasaidia vijana hao kwa kadili ya uwezo wake hata pasipo kukumbushwa na mtu kwani yeye mwenyeweni mdau wa michezo.


Aidha alitoa wito kwa wadau wengine wa michezo kujitokeza kusaidia ukuzaji wa michezo ili kuufanya mkoa wa Iringa ufahamike kisoka sambamba na hilo amepongeza juhudi za uongozi wa wa klabu ya Lipuli Iringa kwa jitihada zao za makusudi wanazozifanya ili kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri kisoka.

No comments:

Post a Comment