Tuesday, December 17, 2013

SEMINA OVERCOMERS POWER CENTRE


SEMINA   SEMINA  SEMINA


NI SEMINA KUBWA YA NENO LA MUNGU KAKWA SIKU NNE MFULULIZO
KATIKA UKUMBI WA IDYDC IRINGA MJINI
KATIKA UKUMBI WA IDYDC

Yule Muhubiri wa kimataifa kutoka  Washington DC Marekani Dr.J.J. William Sasa kwa mara nyingine  tena anakuja Mkoani Iringa katika semina ya neno la Mungu kwa Mwaliko wa Askofu Boaz Sollo
Wawili hao watashirikiana kutokomeza Nguvu za Giza,Wataombea wagonjwa na wenye shida mbalimbali ,Ikiwa umesumbuliwa na shida za muda mrefu sasa zinakwenda kukoma ,mahaba,Yatakoma.

SEMINA HIYO ITAANZA SIKU YA ALHAMISI TAR 19 HADI JUMAPILI TAR 22/12/2013

NI KATIKA UKUMBI WA IDYDC
KUANZIA SAA NANE KAMILI
MCHANA HADI SAA 12:00 JIONI

HII SIYO SEMINA YA KUKOSA
ILI KUMALIZA MWAKA 2013 NA
KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2014

SEMA SASA YATOSHA KUTESEKA NA SHIDA ZA DUNIA
WAKATI YESU YUPO NA
OVERCOMERS POWER CENTRE
IPO HAPA MKOANI IRINGA

No comments:

Post a Comment