MTOTO WA AJABU AZALIWA MAKETE
Mtoto wa ajabu amezaliwa huko wilayani makete mkoani njombe usiku wa kuamkia tarehe kumi na saba june 2014.
Ukimuona
mtoto ngozi yake ni kama amevaa koti kubwa kushinda uwezo wa mwili wake
akiongea na blog hii reporter Daima kyando alisema mtoto huyo wa ajabu
alikua na tumbo kubwa lililomeza viungo vingine vya mwili kama
miguu,mikono,kiuno na shingo.
Habari
zaidi zinasema kuwa mtoto huyo alizaliwa akiwa amekwisha fariki na
alizaliwa kwa njia ya upasuaji,chanzo cha tatizo la mtoto huyo
hakikuweza kufahamika mara moja mpaka tunaenda mtandaoni madaktari
walikuw wakiendelea na uchunguzi.
Mama wa mtoto huo hakuweza kuongea lolote zaidi alilia kwa uchungu kwani na yeye alishikwa na bumbuazi juu ya kilichotokea akihisi ni ndoto.
ukimuangalia zaidi mtoto huyo unaweza kugundua kuwa ana umbo la chura,eeeeh mungu heal the world.
No comments:
Post a Comment