Monday, December 10, 2012

KUMBUKUMBU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU DUNIANI YALIYOFANYIKA MKOANI IRINGA

KUMBUKUMBU YA MADHIMISHO YA SIKU WALEMAVU DUNIANI KATIKATI YA MAADHIMISHO YA KUPINGA UKATILI KWA WANAWAKE YANAYOHITIMISHWA NA TAREHE 11/12/2012

Msafara wa watu kuelekea viwanja vya mwembetogwa kuadhimisha siku ya walemavu Duniani



Mmoja kati ya walemavu akiwa katika shindano la kunywa Soda na Biskuti
Kiongozi wa walemavu
Afisa maendeleo ya Jamii Bw.Kilipamwambu katikati akiwa na viongozi wa Chama Cha Walemavu Iringa
Mh.Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Peter Msigwa kulia katika maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani
Afisa Utamaduni Manispaa ya Iringa Mjini akizunguza katika maadhimisho ya walemavu Duniani
Afisa ustawi wa jamii Iringa Mjini akizungumza
Watoto walemavu wa kituo cha Nyumba Ally Iringa
Mtoto mwenye ulemavu wa kutembea (7)akiwatambulisha wenzake
Mlemavu

Wacheza Ngoma za asili

No comments:

Post a Comment