ALIYEKUWA KATIBU WA CHAMA CHA SOKA MKOA WA IRINGA ELIUDI MVELLA WAMAHANJI AJIUZULU RASMI ,SASA NI MATAWI YA JUU....
Aliyekuwa katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Iringa Eliud Mvella Wamahanji ambae amejiuzulu nafasi hiyo rasmi |
Wamahanji katikati akizungunza na wanahabari mkoa wa Iringa sababu za kujiuzulu kwake |
Wanahabari mkoa wa Iringa wakimsikiliza aliyekuwa katibu wa chama cha soka mkoa wa Iringa Eliud Mvela Wamahanji kulia alipotangaza kujiuzulu nafasi yake |
Wamahanji akiwashukuru wanahabari Iringa kwa ushirikiano wao mkubwa |
No comments:
Post a Comment